Wednesday, August 21, 2019

MAKA EDWARD MWAKALUKWA
Baada ya mpango wa kucheza soka Latvia kukwama, kiungo wa Yanga Maka Edward amejiunga na klabu ya Athletico De Tetuan inayoshiriki ligi daraja la kwanza nchini Morocco
Maka amesajiliwa na timu hiyo kwa mkataba wa miaka minne huku uongozi wa Yanga ukimpa baraka zote
Meneja wa mchezaji huyo Hussein Nyika amethibitisha mteja wake kusajiliwa huko Morocco
Mwezi Juni Maka aliwaaga Wanayanga baada ya kupata nafasi ya kufanya majaribio kwenye moja timu zinazoshiriki ligi kuu Latvia
Hata hivyo Maka hakufanikiwa kwenye mpango huo na kulazimika kurejea nchini na baadae kupata timu huko Morocco.

Tuesday, August 20, 2019

NGAO YA JAMII BALAA.

NGAO YA JAMII BALAA TUPU.


Advertisement
Shiboub, Chilunda ni shoo ya kibabe
Monday August 19 2019
Hata mabao yaliyofungwa na Shiboub, Chama, Kahata, Chilunda na Domayo yote yalikuwa bab’kubwa mbali na udambwidambwi uliotawala dakika 90 za pambano hilo

   



BY  Edward CHEYO O'NZOKA

Hata mabao yaliyofungwa na Shiboub, Chama, Kahata, Chilunda na Domayo yote yalikuwa bab’kubwa mbali na udambwidambwi uliotawala dakika 90 za pambano hilo

Advertisement
Dar es Salaam. ULE ubishi wa nani zaidi kati ya Simba na Azam umemalizwa kibabe. Ndio, ni juzi tu hapo Uwanja wa Taifa, wakati Wekundu wakitakata mbele ya Wanalambalamba kwa kuwapa kipigo cha mabao 4-2.

Hicho kilikuwa kipigo cha pili kwa Azam mbele ya Simba kwenye michuano hiyo iliyoasisiwa mwaka 2001 na kusimama kabla ya kurejeshwa tena 2009.
Pia ni mechi ya kwanza iliyozalisha mabao mengi ikiupiku mchezo wa awali wa timu hizo mwaka 2012 walipofungana mabao 3-2, Azam ikilala tena.
Sasa achana na utamu wa ushindi huo wa Simba, unaambiwa burudani ya mchezo huo wa 12 wa michuano hiyo, ni soka la kuvutiwa lililopigwa na kiungo Shiboub Sharaf Eldin, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ na Hassan Dilunga ‘HD’ kwa Simba na lile la Shaaban Idd Chilunda, Frank Domayo na Salum Abubakar ‘Sure Boy’.
Hata mabao yaliyofungwa na Shiboub, Chama, Kahata, Chilunda na Domayo yote yalikuwa bab’kubwa mbali na udambwidambwi uliotawala dakika 90 za pambano hilo na Mwanaspoti iliyokuwa uwanjani inakuchambulia mchezo mzima ulivyokuwa.

SIMBA, AZAM FIFTE FIFTE
Katika mchezo wa jana ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, Simba walionekana kumiliki mpira na kutengeneza mashambulizi kupitia pasi nyingi huku Azam wakitumia mipira mirefu.
Mipira mirefu ambayo walikuwa wakitumia Azam ilikuwa na faida kutokana na washambuliaji wao Chilunda na Dally Ella Djodi walikuwa wepesi katika kuipata mipira hiyo na kuwasumbua mabeki wa Simba.
Kipindi cha pili mambo yalikuwa fifte fifte, huku Azam wakifanya mambo kipindi cha pili licha ya kuzidiwa na wapinzani wao ambao ndio Mabingwa wa Tanzania katika Ligi Kuu.

KAKOLANYA SAFI
Katika kipindi cha kwanza kipa Kakolanya alionyesha umahiri mkubwa wa kuwapanga mabeki wake Pascal Wawa na Erasto Nyoni licha ya kwamba walikuwa wakikatika mara kwa mara.
Kakolanya aliweza kuokoa michomo miwili katika kipindi cha kwanza baada ya dakika 7, kiungo Salum Abubakar kupiga pasi mpenyezo kwa  Chilunda ambaye alibaki na kipa lakini alipouinua mpira juu ya kipa aliyekuwa amevutika mbele, mpira haukurudi chini, ukapita juu la lango.
Chilunda alipata nafasi nyingine ya wazi dakika 30 baada ya kubaki yeye na Kakolanya uso kwa uso lakini kipa huyo alitokea na kupunguza goli na kumfanya Chilunda asijue chakufanya.
Kwa upande wa kipa Razack Abarola wa Azam, alikuwa mzuri wa kuchomoa mikwaju ya washambuliaji wa Simba, lakini kupishana kwa maelewanao kati ya Oscar Masai na Yakub Mohammed kuliwagharimu Azam.
Abarola alijitahidi kuwapanga kila alivyoweza lakini hilo halikusaidia kwani Simba walikuwa wakizidisha mashambulizi wakitumia mipira ya pembeni kwa mabeki Kapombe na Tshabalala. Kosa lake la kupangulia ndani shuti kali la Hassan Dilunga ‘HD’, liliwazadia Simba goli lililofungwana Shiboub.

WAWA, NYONI BADOBADO
Maelewano ya mabeki wa Simba, Erasto Nyoni na Pascal Wawa bado hayajawa fiti kutokana na wachezaji hawa kupishana mara kwa mara.
Katika kipindi cha kwanza walionekana kukatika na kiungo Sure Boy alikuwa akipenyeza mipira kwa Chilunda ambaye alikuwa mwiba katika kipindi cha kwanza.
Hali hiyo iliwafanya Azam kupata bao dakika 13 baada ya Chilunda kupiga shuti kali na kumuacha kipa Beno Kakolanya akikosa la kufanya.
Katika kipindi cha pili walionekana kuanza kuelewana, lakini Azam nao walifanya mabadiliko kwa kumtoa Nico Wadada na kuingia Obrey Chirwa na pia alitoka Chilunda na nafasi yake ilichukuliwa na Idd Kipagwile.
Kwa upande wa Azam, walikuwa wakiongozwa na Yakubu na  Masai ambao walikuwa wanacheza kwa kuelewana, lakini spidi ya mashambulizi ya Simba yalikuwa yakiwachanganya.

SHIBOUB, SURE BOY HABARI NYINGINE
Katika mchezo huo pale katika eneo la kati lilikuwa kama linawaka Moto kutokana nanmafundibhawa kukichafua kwa hai ya juu katikati mwa uwanja. Hi no kusema hakika timu hiI mbili zimefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana kuvijenga vikosi vyao katikati mwa uwanjana.ujio wa mchezaji toka sudani Sharaf elidin shiboub Ni dharihi shiri kabisa kumeimalisha safu ya kiungo ya Simba scs. Kill lakheri mnyama


Advertisement
Shiboub, Chilunda ni shoo ya kibabe
Monday August 19 2019
Hata mabao yaliyofungwa na Shiboub, Chama, Kahata, Chilunda na Domayo yote yalikuwa bab’kubwa mbali na udambwidambwi uliotawala dakika 90 za pambano hilo

   



BY THOMAS NG’ITU

IN SUMMARY

Hata mabao yaliyofungwa na Shiboub, Chama, Kahata, Chilunda na Domayo yote yalikuwa bab’kubwa mbali na udambwidambwi uliotawala dakika 90 za pambano hilo

Advertisement
Dar es Salaam. ULE ubishi wa nani zaidi kati ya Simba na Azam umemalizwa kibabe. Ndio, ni juzi tu hapo Uwanja wa Taifa, wakati Wekundu wakitakata mbele ya Wanalambalamba kwa kuwapa kipigo cha mabao 4-2.

Hicho kilikuwa kipigo cha pili kwa Azam mbele ya Simba kwenye michuano hiyo iliyoasisiwa mwaka 2001 na kusimama kabla ya kurejeshwa tena 2009.
Pia ni mechi ya kwanza iliyozalisha mabao mengi ikiupiku mchezo wa awali wa timu hizo mwaka 2012 walipofungana mabao 3-2, Azam ikilala tena.
Sasa achana na utamu wa ushindi huo wa Simba, unaambiwa burudani ya mchezo huo wa 12 wa michuano hiyo, ni soka la kuvutiwa lililopigwa na kiungo Shiboub Sharaf Eldin, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ na Hassan Dilunga ‘HD’ kwa Simba na lile la Shaaban Idd Chilunda, Frank Domayo na Salum Abubakar ‘Sure Boy’.
Hata mabao yaliyofungwa na Shiboub, Chama, Kahata, Chilunda na Domayo yote yalikuwa bab’kubwa mbali na udambwidambwi uliotawala dakika 90 za pambano hilo na Mwanaspoti iliyokuwa uwanjani inakuchambulia mchezo mzima ulivyokuwa.

SIMBA, AZAM FIFTE FIFTE
Katika mchezo wa jana ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, Simba walionekana kumiliki mpira na kutengeneza mashambulizi kupitia pasi nyingi huku Azam wakitumia mipira mirefu.
Mipira mirefu ambayo walikuwa wakitumia Azam ilikuwa na faida kutokana na washambuliaji wao Chilunda na Dally Ella Djodi walikuwa wepesi katika kuipata mipira hiyo na kuwasumbua mabeki wa Simba.
Kipindi cha pili mambo yalikuwa fifte fifte, huku Azam wakifanya mambo kipindi cha pili licha ya kuzidiwa na wapinzani wao ambao ndio Mabingwa wa Tanzania katika Ligi Kuu.

KAKOLANYA SAFI
Katika kipindi cha kwanza kipa Kakolanya alionyesha umahiri mkubwa wa kuwapanga mabeki wake Pascal Wawa na Erasto Nyoni licha ya kwamba walikuwa wakikatika mara kwa mara.
Kakolanya aliweza kuokoa michomo miwili katika kipindi cha kwanza baada ya dakika 7, kiungo Salum Abubakar kupiga pasi mpenyezo kwa  Chilunda ambaye alibaki na kipa lakini alipouinua mpira juu ya kipa aliyekuwa amevutika mbele, mpira haukurudi chini, ukapita juu la lango.
Chilunda alipata nafasi nyingine ya wazi dakika 30 baada ya kubaki yeye na Kakolanya uso kwa uso lakini kipa huyo alitokea na kupunguza goli na kumfanya Chilunda asijue chakufanya.
Kwa upande wa kipa Razack Abarola wa Azam, alikuwa mzuri wa kuchomoa mikwaju ya washambuliaji wa Simba, lakini kupishana kwa maelewanao kati ya Oscar Masai na Yakub Mohammed kuliwagharimu Azam.
Abarola alijitahidi kuwapanga kila alivyoweza lakini hilo halikusaidia kwani Simba walikuwa wakizidisha mashambulizi wakitumia mipira ya pembeni kwa mabeki Kapombe na Tshabalala. Kosa lake la kupangulia ndani shuti kali la Hassan Dilunga ‘HD’, liliwazadia Simba goli lililofungwana Shiboub.

WAWA, NYONI BADOBADO
Maelewano ya mabeki wa Simba, Erasto Nyoni na Pascal Wawa bado hayajawa fiti kutokana na wachezaji hawa kupishana mara kwa mara.
Katika kipindi cha kwanza walionekana kukatika na kiungo Sure Boy alikuwa akipenyeza mipira kwa Chilunda ambaye alikuwa mwiba katika kipindi cha kwanza.
Hali hiyo iliwafanya Azam kupata bao dakika 13 baada ya Chilunda kupiga shuti kali na kumuacha kipa Beno Kakolanya akikosa la kufanya.
Katika kipindi cha pili walionekana kuanza kuelewana, lakini Azam nao walifanya mabadiliko kwa kumtoa Nico Wadada na kuingia Obrey Chirwa na pia alitoka Chilunda na nafasi yake ilichukuliwa na Idd Kipagwile.
Kwa upande wa Azam, walikuwa wakiongozwa na Yakubu na  Masai ambao walikuwa wanacheza kwa kuelewana, lakini spidi ya mashambulizi ya Simba yalikuwa yakiwachanganya.

SHIBOUB, SURE BOY HABARI NYINGINE
Katika mchezo huo pale katika eneo la kati lilikuwa kama linaw